Kwa Coaches na Skills Trainers..
Ofa inaisha Ndani ya..
..Na kupoteza wateja
7 kati ya 10 unaowapata
(Na Maelfu Ya Shilingi Kila Wiki)
Acha Kujitia HASARA...
.
Rekebisha Hili Kosa
MOJA TU
Ugeuze WhatsApp yako
kuwa mashine ya
kupokelea wateja,
wanaokubembeleza uwauzie,
24/7
...Kwa Kutumia
KITABU CHANGU
Cha
"RAMANI YA UKOMBOZI"
BURE KABISA.

Hivi Ndivyo Unavyofanya Kwa Sasa...
1. Unasponsor Tangazo lako, Facebook, Instagram au Tiktok kwa ajili ya kozi , huduma na programs zako
2. Unaweka link ya kuwapeleka wateja Moja kwa Moja kwenye WhatsApp yako
Na Kwa kufanya hivyo, unapoteza Wateja 7 kati ya 10 Wanaofika kwenye whatsapp yako, hata kabla hujajibu ile meseji yao ya "tell me more about this.."
...Mwisho wa siku Program inabuma Na Pesa Ushachoma...
Unajiuliza:
"Nakosea wapi? Mbona nina content NZURI? Na watu wanaonesha kabisa wanahitaji huduma yangu?"
Najua inavyouma...
Mi mwenyewe nimetokea huko huko..
Nilianza harakati za Online coaching mwaka 2017...
nikifundisha jinsi ya kutengeneza tovuti za biashara mtandaoni..
Na ndani ya miezi 6 ya kwanza, tayari Nilikuwa nimeunguza zaidi ya Tsh 700,000 /= nzima kwenye matangazo ya kulipia tu,
Facebook, Instagram,Tiktok.. Mitandao Yote
Na Nilihakikisha Watu wote nawapeleka Moja Kwa Moja WhatsApp,
Niliamini hiyo ni njia rahisi zaidi,ambayo itanifanya nipate wateja, bila kupoteza muda
Walikuwa Wanakuja watu wengi.....
ILA CHANGAMOTO
YAKE SASA..
1. Kazi ya kujibu ujumbe mmoja mmoja ilinichosha,
2. Kujibu maswali yale yale kwa kila mteja anayekuja,
3. Wengine wanafika whatsApp bila hata kujua mi natoa huduma gani,(hawa walikuwa wakiniacha hoi kabisa)
4. Wengine nakuta sijawajibu toka juzi,
5. Na likija swala la bei sasa...
..Tunaanza kupatana upyaa..
Watu walikuwa wakiniona niko busy kweli,
KUMBE Busy For Nothing.
Kwakuwa nilikuwa nachat tu na watu wengi,
LAKINI SIUZI.
Baada ya kuhangaika sana Mtandaoni,
nikakutana na jamaa mmoja nguli wa kuuza duniani,
Russell Brunson,

Ambaye alinifungua sana macho Kupitia youtube video zake.
Na nilipopata mwanga kidogo, Nikaenda mbali zaidi,
Na kununua kozi yake iliyonipa mwanga wa kutosha,
Inayoitwa "1 Funnel away challenge"
Anayoiuza kwa Ada ya USD 470...(Tsh 1,123,407/=)
Na kunipa SIRI NYINGI SANA za kuuza chochote mtandaoni,
Kwa kutumia MFUMO.
Na tokea Hapo Biashara yangu imebadilika..
Nakumbuka Nilipotumia mfumo wa mauzo kwa mara kwanza kwenye biashara yangu...
nilitengeneza Tsh 739,000/= Ndani ya siku 3 tu.
Angalia screenshot ya dashboard yangu ya wateja inavyosema..


Sasa Hivi sibahatishi wala Siendi kichwakichwa kama mwanzo....
Nauza kwa uhakika, Kwa kutumia MFUMO.
Unaomsindikiza mteja toka siku ya kwanza kuniona Mtandaoni, mpaka anapokuwa mteja.
Hata wewe Sasa hivi Apo umeshaingia ndani ya mfumo wangu..
(Ila Usihofu, Sitokuuzia kitu. Siyo kwa leo....)
Leo Ninakupa Zawadi...
Zawadi Ya Ramani.
Ramani inayokuonyesha NJIA SAHIHI na RAHISI,
Ya kutumia KUMNASA na
KUMSAFIRISHA mteja wako,
Toka Mitandao ya kijamii na kuja kumuuzia Kwa UHAKIKA WhatsApp.
Hatua ....
......Kwa
Hatua.
Iwe ni:
Kozi,
Consultations,
Training,
Huduma Tiba,
Mazoezi,
Mfumo huu unafanya kazi vizuri sana.

Njia sahihi ya
Ramani ya tangazo lako Ni:
Tangazo →
Landing Page → WhatsApp →
Chambo →
Lea →
Uza
.
NIMEKUWEKEA
RAMANI HII NZIMA
YA HATUA ZOTE,
Kwa Mtiririko Sahihi,
KWENYE eBook
Niliyoiita kwa jina la....

Ramani Ya Ukombozi:
(Rescue Map)
Itakayokomboa,
Kurudisha,
Na
Kurekebisha
Mfumo wako Wa Biashara,
Uanze Kuuza Kwa
uhakika
Ndani ya Masaa 24 TU, bila ujuzi wowote wa teknolojia.
Ambapo nimekuchorea
Ramani ya
SAFARI YA mteja
wako JINSI inavyotakiwa
kuwa,
NA:
Njia ya kumsafirisha
kwa kutumia ramani hiyo.
Coaches
Kama wewe ni
Coach,
na unatoa
huduma
za Coaching
kwenye nyanja mbalimbali...
.
Trainers
.
Kama wewe
Unafundisha
ujuzi
mbalimbali mtandaoni, Mfano; Maisha, Ufugaji, Lishe, Biashara,Afya..
hii inakuhusu pia
Sikiliza Makocha na Trainers
wengine
Wanavyosema...
Amani Ludovick
"Nilifuata Ramani ya Funnel rescue, na ndani ya siku 3 tu nimeweza kupata wateja 29 walionunua Tax trainings. Kwangu ni hatua kubwa sana, asante."
— Coach Amani, Dar es Salaam
Agnes William
Nisingekutana na Hii ramani ningekuwa nimeshaacha haya mambo ya ukocha
— Coach Agnes, Mwanza
Daudi Riganda
Nashukuru sana kwa kunipa mwanga. sasa najua ninachokifanya.
— Daudi Riganda, Mbeya
Ndani Ya Hii Ebook Utajifunza:

Kosa 1 KUBWA linalogharimu Biashara Yako.
Mtego uliopo kati ya Mitandao ya kijamii na Tangazo lako
Kwanini kuwapeleka wateja wako whatsapp moja kwa moja ni kujitia hasara
Njia ya kwanza sahihi ya kuandika tangazo kuzuia hasara
Sababu 3 Hatari sana zinazoua KABISA biashara yako
Mfumo wa hatua 7 unaokuwezesha kuuza chochote mtandaoni
Jinsi ya kumsafirisha mteja kwenye hizo hatua 7 na kumuuzia kwa uhakika
Quick Fix. Jinsi ya kurekebisha mfumo wako wa kuuza ndani ya masaa 24
Jinsi unavyoweza kukuza na kuongeza Mauzo ya biashara yako bila kuongeza idadi ya wafanyakazi
PLUS BONUS KIBAO

Bonus 1:
24/7 Friendly support
Utapata sapoti ya karibu
kwa muda wa siku 7 ili uweze kuuza kwa uhakika

Bonus 2:
Maneno SAHIHI ya kutumia unapotaka kumuuzia mtu
Utapata scripts za mauzo
ambazo mimi mwenyewe nimezitumia kuingiza zaidi ya
Tsh1 M ndani ya wiki ya 1 tu .

Bonus 3:
Nafasi ya kujiunga kwenye
channel yetu
Utapata nafasi ya kujiunga
na channel yetu upate tips
na tricks za kuongeza mauzo yako,
na jinsi ya
kutumia mfumo kupata wateja wa uhakika.
Vyote Hivi
Vina Thamani
Ya:
Tsh 347,000+
Lakini Kwa Leo
Nakupa
BURE
KABISA!

Ukifanikiwa Kusoma Hiki Kitabu Mpaka Mwisho:

Hutochoma
TENA PESA zako.
Utaacha kutengeneza matangazo yanayowapeleka watu moja kwa moja whatsApp

Utanasa na kuhakiki wateja wako kwa mfumo wa uhakika bila wewe kulazimika kushika simu yako MUDA WOTE

Utauza kwa uhakika na kufikia malengo yako uliyojiwekea ambayo ni UHURU wa KIFEDHA
Maswali Ya Mara Kwa Mara
Hii Ramani ni bure kweli ?
Ndiyo! Funnel Rescue Map ni bure 100%.
Hauhitaji kulipia chochote. Nipe namba yako ya WhatsApp nitakutumia moja kwa moja kwenye DM yako SASAHIVI.
Kwa nini mnatoa bure?
Kwa sababu Makocha na Trainers wengi Tanzania Wameshapoteza PESA NYINGI SANA kwenye matangazo ya kulipia, kwa kupost BILA MFUMO sahihi.
Nimekutengenezea hii
ramani kukusaidia
kuepuka makosa kama hayo.
Ukiona matokeo,
utaona thamani ya kuwa na funnel sahihi —
na ukihitaji msaada wetu tutakutengenezea
mfumo kamili.
Hii ni kwa ajili ya nani?
Kwa wajasiriamali,
makocha, Trainers,
freelancers na wamiliki
wa biashara ndogo
ambao wanataka
kubadilisha WhatsApp na mitandao
yao ya kijamii kuwa
mashine za mauzo.
Nahitaji ujuzi wa teknolojia?
Hapana.
Ramani hii
imeandikwa kwa lugha rahisi. Inakuelekeza
hatua kwa hatua,
hata kama huna ujuzi wa IT utaelewa unachotakiwa kufanya.
Nitaona matokeo ndani ya muda gani?
Inategemea na aina yako ya biashara uliyonayo,
lakini wengi wakianza
kutumia mbinu zilizopo
kwenye ramani hii,
huanza kuona mabadiliko
ndani ya siku 7.
Baada ya kudownload inakuwaje?
Utapata mara moja Ramani Ramani Ya Ukombozi,(Funnel Rescue Map)
Pia tutakutumia tips
rahisi na nafasi ya kujua
jinsi tunavyoweza kukusaidia kujenga funnel yako haraka zaidi
Hii itafanya kazi Kweli kwenye aina yangu hii ya biashara?
Ndiyo.
Iwe unauza Bidhaa,
Huduma au Coaching
— funnel ni mfumo unaobadilika kulingana na biashara yako.
Kikawaida Ebook hii
Naiuza Kwa
Shilingi:
Tsh 79,999/=

Ila Leo,
Unaipata
BURE KABISA
Imetengenezwa na Vic Automations Hub| Vigezo & Masharti | Kanuni za faragha
Hongera Sana
.
Ramani Yako Ya Ukombozi Ninayo Mkononi. Naomba Mawasiliano Yako Nikutumie Sasahivi
Namba Yako Ipo salama kabisa Kwetu.